Wednesday, 21 May 2014
Mahusiano
Mahusiano yakiyumba hakuna mafanikio
Usikate tamaa
Kamwe Usikate Tamaa, Endelea Kusonga
Mbele
Maisha ni safari ya malengo yetu duniani. Na safari huanza pale unapojua kwanini unasafiri, unaenda wapi na kwa usafiri upi. Na katika safari ya malengo na ndoto zetu kuna mabonde, mawe na milima njiani. Wapo wale wanaokata tamaa kutokana na mabonde na milima ya maisha na hupotezwa njiani na wapo wale ambao huendelea kupambana bila kukata tamaa na watu hawa hula mema ya nchi, duniani. Maisha si kutuwama kama maji taka dimbwini kutokana na mabonde na miinuko njiani bali ni kutembea na kuendelea bila kukata tamaa.
Mambo makubwa ya maisha yamefanywa na watu walioendelea kujaribu,kupigana hata katika mazingira ambayo hayana matumaini kwao. Waswahili husema Kabla ya kukata tamaa katika maisha, jaribu tena.
Maisha ni safari ya malengo yetu duniani. Na safari huanza pale unapojua kwanini unasafiri, unaenda wapi na kwa usafiri upi. Na katika safari ya malengo na ndoto zetu kuna mabonde, mawe na milima njiani. Wapo wale wanaokata tamaa kutokana na mabonde na milima ya maisha na hupotezwa njiani na wapo wale ambao huendelea kupambana bila kukata tamaa na watu hawa hula mema ya nchi, duniani. Maisha si kutuwama kama maji taka dimbwini kutokana na mabonde na miinuko njiani bali ni kutembea na kuendelea bila kukata tamaa.
Mambo makubwa ya maisha yamefanywa na watu walioendelea kujaribu,kupigana hata katika mazingira ambayo hayana matumaini kwao. Waswahili husema Kabla ya kukata tamaa katika maisha, jaribu tena.
Subscribe to:
Posts (Atom)